Account ya twitter imemvutia D’banj kutangaza kumpatia ajira mrembo huyu …

The Big Boss wa DKMC Oladapo Daniel Oyebanjo ambaye wengi wamemzoea kamaD’banj ametangaza kumpatia ajira mrembo aliyekuwa anasomea Management Information System kutoka Covenant University. D’banj ametangaza kumpatiaChidinma Ughamadu ajira ambayo bado hajaiweka.
D’banj ambaye aliamua kutangaza kumpatia ajira Chidinma, baada ya yeye kuanzisha hash tag #kokobusiness ili kujitangaza kibiashara, ila mrembo huyo aliamua kufungua account rasmi @kokobusiness katika mtandao wa twitter  wala sio hash tag na kuiendeleza.
zzzz
CEO huyo wa DKMC alionekana kuvutiwa na uwezo wa kufikiri kwa Chidinma kwa kufungua account, wakati yeye alikuwa ana tumia hash tag kupromote biashara zake.
zzz
zzz
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Chapisha Maoni