Pendeza na kitenge kama hicho ukishona muunganiko wa suruali na blauzi utokelezee bombaa


Je vigauni hivyo haujavipenda?? yani vinapendeza sana hasa kwa mtoko ukiwa na baba kaylah pembeni mtanoga haswaaa


Sketi na blauzi je utanogaje lakini mimi nakaa kimya kwanzia sasa wewe jionee tuu kwa macho na usikubali kula kwa macho fanya sasa maamuzi nipigie kwenye namba 0656 475744


Na wakaka pia tuna nafasi yetu bwana kwanini mpendeze nyie tuu siyo kweli kabisa haki sawa kwa wote

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 maoni:
Chapisha Maoni