PICHA 15 ZA FASHION MBALIMBALI ZA VITENGE KWA WANADADA WAREMBO






Pendeza na kitenge kama hicho ukishona muunganiko wa suruali na blauzi utokelezee bombaaJe vigauni hivyo haujavipenda?? yani vinapendeza sana hasa kwa mtoko ukiwa na baba kaylah pembeni mtanoga haswaaaSketi na blauzi je utanogaje lakini mimi nakaa kimya kwanzia sasa wewe jionee tuu kwa macho na usikubali kula kwa macho fanya sasa maamuzi nipigie kwenye namba 0656 475744Na wakaka pia tuna nafasi yetu bwana kwanini mpendeze nyie tuu siyo kweli kabisa haki sawa kwa wote
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Chapisha Maoni