Adele atawala tuzo za Brits


Adele
Adele ni malkia wa Uingereza,baada ya kushinda tuzo nne ikiwemo ile ya mwanamuziki bora pamoja na albamu bora.
''Kurudi baada ya mda mrefu na kupokewa kwa taadhima ni muhimu sana kwangu,''alisema.
Nyota huyo aliyefunga hafla hiyo kwa kucheza wimbo 'When we Were Young',pia alipokea tuzo ya wimbo bora nchini Uingereza pamoja na tuzo ya dunia ya ufanisi.
Adele ashinda tuzo 4 za Brits
Sherehe hiyo pia ilishirikisha kumbukumbu za marehemu David Bowie zilizoendeshwa na Annielennox na Gary Oldman.
Oldman baadaye alikubali tuzo kwa niaba ya mwanamuziki huyo na familia.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Chapisha Maoni