Tony Burton aliyeshiriki katika filamu sita za Rocky dhidi ya Sylvester Stallone amefariki akiwa na umri wa miaka 78.
Kiini
cha kifo chake bado hakijulikani ,lakini dadaake ,Loretta Kelly amesema
kuwa amekuwa akienda hospitalini katika kipindi cha mwaka mmoja
uliopita.Ameongozea kuwa hajapata utambuzi wa ugonjwa wake katika wakati huo na kwamba hali yake ya afya ilikuwa imezorota hali ya kutoweza kuiona filamu ya Creed.
Uigizaji wake ulimsaidia Creed ambaye ni mpinzani wa Rocky Balboa katika filamu mbili za kwanza za masumbwi kabla ya kuwa mkufunzi wa Balboa.
0 maoni:
Chapisha Maoni