Meneja na kocha timu ya REAL MADRID yenye makazi yake Santiago Bernabeu uhispania ametangaza kwamba kwa timu ambazo zilizania kwamba zitamsajili staa wa timu hiyo cristiano ronaldo mwisho wa msimu huu wajue kwamba wameula.


PSG na MAN UNITED ndiyo timu ambazo zilikuwa zinamnyemelea staa huyo kwa ukaribu ili wamsajili
0 maoni:
Chapisha Maoni