
Mcheza Tenisi Andy
Murray anatarajia kuiongoza Uingereza katika mchezo dhidi ya Japan
mashindano ya Tenisi ya Davis Cup ikiwa ni mchezo wa raundi ya kwanza
kuweza kushinda mjini Birmingham kuanzia tarehe 4-6 mwezi March.
Murray
mwenye miaka 28 anayeshika namba mbili ya ubora ulimwenguni ataungana
na Jamie , Kyle Edmund, Dominic Inglot pamoja na Dan Evans.Uingereza ilishinda katika mashindano ya Davis cup kwa mara ya kwanza mwaka 1936 dhidi ya ubelgiji .
0 maoni:
Chapisha Maoni