Davis cup: Murray kuiongoza Uingereza

Andy Murray kuiongoza Uingereza michuano ya Tenisi, Davis Cup 
 
Mcheza Tenisi Andy Murray anatarajia kuiongoza Uingereza katika mchezo dhidi ya Japan mashindano ya Tenisi ya Davis Cup ikiwa ni mchezo wa raundi ya kwanza kuweza kushinda mjini Birmingham kuanzia tarehe 4-6 mwezi March.
Murray mwenye miaka 28 anayeshika namba mbili ya ubora ulimwenguni ataungana na Jamie , Kyle Edmund, Dominic Inglot pamoja na Dan Evans.
Uingereza ilishinda katika mashindano ya Davis cup kwa mara ya kwanza mwaka 1936 dhidi ya ubelgiji .
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Chapisha Maoni