Infantinho na matumaini ya ushindi Fifa

Mgombea Urais Fifa, Gianni Infantino
Mgombea urais wa Shirikisho la Soka Duniani-FIFA, Gianni Infantino ana uhakika kuwa atakusanya kura nyingi kutoka mataifa ya Afrika katika uchaguzi Ijumaa hii.
Infantino alifanya ziara fupi Afrika Kusini kwa mwaliko wa hasimu wake katika kinyang'anyiro hicho Tokyo Sexwale ambapo wawili hao walikutana katika kisiwa cha Robben, gereza ambalo Sexwale aliwahi kufungwa katika kipindi cha ubaguzi wa rangi.
Lakini pamoja na Shirikisho la Soka la Afrika-CAF kutoa msimamo wake kuwa watamuunga mkono Sheikh Salman bin Ibrahim al-Khalifa wa Bahrain, katibu mkuu huyo wa Shirikisho la Soka la Ulaya-UEFA amesema ana uhakika wa kuungwa mkono na mataifa ya Afrika.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Chapisha Maoni