Zidane:Nawahitaji Pogba, Tielemans


 
Kocha wa Real Madrid, Zinedine Zidane
Meneja wa Real Madrid, Zinedine Zidane amepanga kuwawania Paul Pogba na Youri Tielemans majira ya kiangazi.
Taarifa zinadai kuwa Zidane anahofia kumtegemea sana Luka Modric katika nafasi ya kiungo na anataka kuimarisha safu hiyo kwa ajili ya msimu ujao.
Pogba ni aina ya mchezaji ambaye anaweza kucheza moja kwa moja katika kikosi cha kanza cha Madrid na Zidane ana matumaini ya kumnasa Mfaransa mwenzake huyo.
Tielemans kwa upande wake amekuwa katika kiwango bora toka alipoibuka katika kikosi cha kwanza cha Anderlecht na Madrid wanaona chipukizi huyo mwenye umri wa miaka 18 ataweza kuisadia timu hiyo siku zijazo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Chapisha Maoni