Video: Tazama filamu fupi ya maisha ya Victor Wanyama


STAA wa Timu ya Taifa ya Kenya, Harambee Stars pamoja na Timu ya Southampton, Victor Wanyama ameteka ‘headlines’ katika Ulaya baada ya kutoka kwa filamu fupi inayoonesha safari ya maisha yake.
Katika filamu hiyo iliyopewa jina la The Lion Of Muthurwa inamuonesha Wanyama (24), akiitwa kwa mara ya kwanza kwenye timu ya taifa (Harambee Stars) kipindi akiwa na miaka 15 kisha anafanikiwa kwenda kucheza soka la kulipwa Ubelgiji na baada ya hapo Scotland na mwisho anafanikiwa kutinga Ligi ya Mabingwa Ulaya (UEFA).

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Chapisha Maoni