BAADA YA MSOTO BARCELONA YAJIPUMZISHA KWA DEPORTIVO KWA BAO 8-0


Leo watoto wa Catalunya walikuwa wageni wa timu ya Deportivo la Coruna ili kutafuta ushindi ili waweze twaa kombe la liga mwisho wa msimu huu



Leo walicheza kama wapo vutani kwani walijua wakipoteza mchezo wa leo wangeshushwa na wapinzani wao wakubwa Atletico na Real Madrid ambao watacheza kesho

Barcelona's Luis Suarez (C) celebrates after scoring against Deportivo

katika mechi ya leo mpinzani mkubwa kwa ufungaji wa Cristiano Ronaldo,Muuruguay Luis Suarez ameweza kufunga mabao manne na kutimiza mabao 30 katika ufungaji la liga

Neymar celebrates with team-mate Lionel Messi

huku magoli mengine yakifungwa na mshambuliaji nyota Lionel Messi na lingine akifunga Neymar JR pamoja na kiungo Lakitic na mchezo kuisha 8-0kwa ushindi huo



kwa ushindi huo Barcelona wanabaki kileleni wakiwa na alama kama zinavyoonesha kwenye picha hapo juu hadi nafasi ya kumi ligi ya UhispaniaLuis Suarez ikumukwe kabla ya mechi ya leo Barcelona imeweza kupoteza mechi tatu mfululizo katika ligi hiyo ambazo ni dhidi ya Real Madrid 2-1, Real Sociedad 1-0 na Valencia 2-1
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Chapisha Maoni