
Real Madrid walikuwa kwenye wakati mgumu kufatia kipondo cha bao 2-0 kwenye mchezo wa kwanza. Hat-trick ya Ronaldo iliishuhudia Madrid ikifuzu kwenda nusu fainali ya ya mashaindano hayo.
Baada ya mchezo, Zidane akasema: “Cristiano Ronaldo anaonesha yeye ni mchezaji wa aina gani. Ni mchezaji bora ulimwenguni na amefanya kitu kinachomfanya aonekane ni mchezaji maalumu.”
“Lakini anahitaji timu nzima kufanya yote hayo, na tunachohitaji kufanya ni kuzungumza kile ambacho kimefanywa na wachezaji kwa pamoja. Lakini si kila mchezaji anaweza kufunga magoli matatu hilo liko wazi.”
0 maoni:
Chapisha Maoni