Leo kikosi cha yanga kilichoanza lkilibadilika kidogo kwani issofour Aboubakar aliingia kuchukua nafasi ya Simon Msuva Al Ahly ndo walitangulia kupata bao kupitia faulo iliyopigwa na kumaliziwa na msambuliaji wao jezi namba 9
| MECHI YA LIGI YA MABINGWA AFRIKA KATI YA YANGA NA AL AHLY YA MISRI IMEISHA KWA SARE YA MABAO 1-1 KWENYE UWANJA WA TAIFA JIJINI DAR ES SALAAM, LEO. CHEKI KAZI ILIVYOKUWA.. |
na baadaye kapteni wao alijifunga kwa kuuzamisha nyavuni mpira uliopigwa na Abobucar katika kipindi cha kwanza
0 maoni:
Chapisha Maoni