Wakati wowote kuanzia hivi sasa Chelsea watatangaza kukamilisha usajili wa staa huyu

January 28 klabu ya soka ya Chelsea ya Uingereza imerudi tena kwenye headlines, safari ni ule muendelezo wa stori zao za usajili, Chelsea ambayo imeingia kwenye headlines za usajili mara kadhaa sasa toka dirisha dogo la usajili lifunguliwe. Tayari inatajwa kukamilisha mpango wa kumsajili kwa mkopo  Alexandre Pato.
Brazil striker Alexandre Pato arrives at Heathrow Airport from Sao Paulo, he is expected to join Chelsea on loan untill the end of the season. picture David Dyson
Chelsea ilikuwa inahusishwa kutaka kumsajili kwa mkopo mchezaji wa kimataifa waBrazil kutokea klabu ya Corinthians, msimu uliopita Pato alichezea kwa mkopo klabu ya Sao Paulo ya kwao Brazil akitokea Corinthians iliyomsajili kwa euro milioni 15 akitokea AC Milan, kwa sasa atajiunga na Chelsea kwa mkopo. Pato tayari ametuaLondon kukamilisha dili hilo.
Brazil striker Alexandre Pato arrives at Heathrow Airport from Sao Paulo, he is expected to join Chelsea on loan untill the end of the season. picture David Dyson
“Nipo hapa kutimiza ndoto zangu, Chelsea ni nyumbani na ninafuraha kuitumikia, kiukweli nina furaha sana, nataka kukutana na wachezaji wenzangu wapya na kuanza kuzoea mazingira haraka” >>> Pato
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Chapisha Maoni