BARCELONA KWAHERI YA KUONANA YAAMBULIA KIPIGO CHA MABAO 2 MBELE YA ATLETICO MADRID

Waswahili wanasema ''kwaheri ya kuonana'' hii ndiyo imeikuta timu ya Barcelona katika ligi ya mabingwa ulaya baada ya kuchapwa mabao 2 kwa 0 dhidi ya atletico zifuatatazo ni picha mbalimbali katika mtanange huo

magoli yote ya atletico madrid yamefungwa na ANTONIE GREIZMANN katika kipindi cha kwanza na kipindi cha piliAtlético’s Antoine Griezmann, right, heads the ball past Barcelona’s goalkeeper Marc-Andre ter Stegen.Antoine Griezmann, right, receives a smacker during the celebrations.na lakini katika kipindi cha pili vijana wa Barcelona walipata penati lakini cha kushangaza Iniesta alikosa hiyo penati na kuishia mikononi mwa kipa wa atletico madridAtlético Madrid’s Koke beats Barcelona’s goalkeeper Marc-Andre Ter Stegen to the ball.Atletico Madrid’s Diego Godin (bottom) vies with Barcelona’s Luis SuarezThe Atlético fans cheer on their team.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Chapisha Maoni