
Samir Nasri leo akitokea majeruhi ameweza kuipa timu yake ushindi mzuri wa bao 2-1 dhidi ya West Brom na kuiweka katika nafasi nzuri ya Top 4 huku waliojuu yao wagonga nyundo wa London,Arsenal wakipata suluhu bomba dhidi ya West Ham

goli la kwanza lilifungwa na Aguero kwa mkwaju wa penati na baadaye wapinzani wao walisawazisha goli hilo ndipo Nasri alipokuja kuwainua mashabiki wa man city kwa goli la ushindi

pia vijana wa Chelsea leo wameshindwa kutamba mbele ya swansea baada ya kuambulia kipigo cha bao moja bila

bao ambalo lilifungwa na Gylfi Sigurdsson katika mchezo huo na matokeo kubaki hivyo hadi mwisho wa kipenga cha mchezo
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 maoni:
Chapisha Maoni